Umoja Wa Wachagawote
Ni Umoja Wa Hiari Unaoundwa Na Wachaga Kutoka Old-Moshi, Machame, Kibosho, Marangu, Rombo, Siha Na Kwingine.
...imeelezwa kwa kina soma zaidi
Lengo La Kuanzishwa Umoja Huu ni kusaidiana kijamii na kiuchumi
#1 Kusaidiana Kijamii
Maswala Ya Kijamii Ni Pamoja Na Matatizo Mbalimbali Yatakayomfika Mwanaumoja Kama Vile Magonjwa, Misiba, Kuunguliwa Na Nyumba Na Kupatwa Na Mafuriko Na Mengine Yanayofanana Na Haya.
#2 Kusaidiana Kiuchumi
Kutaarifiana Fursa Mbalimbali Zilizopo Na Kupeana Mafunzo Ya Fedha Na Ukuzaji Wa Mitaji Na Kunyanyuana Kimaendeleo Kwa Kupeana Mikopo Nafuu Kama Vile Mikopo Ya Nyumba Na Viwanja Au Mikopo Kukuza Biashara.
Faida Za Kuwa Mwanachama Wa Umoja Huu Zipo Nyingi Na Zitaendelea Kuongezeka Zaidi Hapo Badae Ila Kwa Sasa
Tumeelezea Chache Kwenye Ukurasa Wa About Us
Tumeelezea Chache Kwenye Ukurasa Wa About Us
Katika kuboresha mawasiliano ya Umoja wa Wachagawote tumejiunga kwenye mitandao ya kijamii ili kuweza kufikisha taarifa za Umoja huu kwa urahisi, ambapo kwa mtandao wa facebook tunao ukurasa unaitwa Wachagawote na mtandao wa twitter ukurasa wetu unaitwa Wachagawote pia kwa mtandao wa Instagram tunao ukurasa unaitwa Wachagawote na kwa mtandao wa Whatsapp tumeanzisha Group maalumu la wanachama hai ikiwa ni maboresho
Kama inavyoelezewa vyema kwenye chapisho hili
Hitimisho
Kwa maelezo haya mafupi tuna imani utakuwa umeelewa kiundani kuhusu Umoja wa Wachagawote na pia kwa kufatilia link zote zilizoambatanishwa kwenye chapisho hili utakuwa ujua zaidi kuhusu Taasisi hii ya Wachagawote
Ikiwa unahitaji ufafanuzi zaidi waweza kuwasiliana nasi kwa
kujaza fomu hii
